Hebrews 3:4 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini Mungu ndiye mjenzi wa vitu vyote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa kila nyumba hujengwa na mtu, lakini Mungu ni mjenzi wa kila kitu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana kila nyumba imetengenezwa na mtu; ila yeye aliyevitengeneza vitu vyote ni Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila nyumba huwa imejengwa na mtu fulani, lakini Mungu alijenga kila kitu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kila nyumba hujengwa na mjenzi fulani—na Mungu ndiye mjenzi wa vitu vyote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini Mungu ndiye mjenzi wa vitu vyote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini Mungu ni mjenzi wa kila kitu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini Mwenyezi Mungu ni mjenzi wa kila kitu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana kila nyumba imetengenezwa na mtu; ila yeye aliyevitengeneza vitu vyote ni Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini Mungu ndiye mjenzi wa vitu vyote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwani kila nyumba hujengwa na mtu. Lakini anayevitengeneza vyote ndiye Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana kila nyumba imetengenezwa na mtu; ila yeye aliyevitengeneza vitu vyote ni Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni kweli kila nyumba inajengwa na mutu, lakini Mungu ndiye aliyejenga vitu vyote.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana killa nyumba imetengenezwa na mtu; illa yeye aliyevitengeneza vitu vyote ni Mungu.