Hebrews 5:10 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye amewekwa na Mungu kuwa Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kisha ametajwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu alimfanya yeye kuhani mkuu, kama alivyokuwa Melkizedeki.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
naye amewekwa na Mungu kuwa Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye amewekwa na Mungu kuwa Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kisha ametajwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo alipewa na Mungu jina la mtambikaji mkuu, kama Melkisedeki alivyokuwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kisha ametajwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Mungu alitangaza kwamba yeye ni Kuhani Mukubwa kwa mufano wa Melkisedeki.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ametajwa na Mungu kuwa Kuhani mkuu kwa mfano wa daraja la Melkizedeki.