Hebrews 5:13 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila anayepaswa kunywa maziwa ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana yeyote aishiye kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu neno la haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yeyote anayeishi kwa kutegemea maziwa tu bado ni mtoto mchanga, hayupo tayari kuelewa zaidi kuhusu kuishi kwa haki.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kila anayepaswa kunywa maziwa huyo ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila anayepaswa kunywa maziwa ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana ye yote aishiye kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu neno la haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana yeyote aishiye kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu neno la haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila anayepaswa kunywa maziwa ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kila anayenyonyeshwa maziwa ni mtu asiyejua bado yaongokayo, kwani ni mtoto mchanga.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana kila mutu anayeishi kwa kunyonya maziwa tu hawezi kufahamu mafundisho ya haki, maana yeye ni mutoto muchanga.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana killa mtu atumiae maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.