Hebrews 7:18 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana, kuna kubatiliwa kwa ile amri iliyotangulia, kwa sababu ya udhaifu wake, na kutokufaa kwake;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo mfumo wa sheria za zamani zilizowekwa sasa zinaisha kwa sababu zilikuwa dhaifu na hazikuweza kutusaidia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa upande mmoja, kubatilishwa kwa ile amri ya mwanzo isiyofaa
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana, kuna kubatiliwa kwa ile amri iliyotangulia, kwa sababu ya udhaifu wake, na kutokufaa kwake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo lile agizo la kale linatanguka, kwa sababu lilikuwa nyonge, tena halikufaa;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana, kuna kubatiliwa kwa ile amri iliyotangulia, kwa sababu ya udhaifu wake, na kutokufaa kwake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo, ile amri ya zamani imevunjwa, kwa sababu ilikuwa zaifu nayo haikufaa kitu,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana, kima kubatiliwa kwa ile amri iliyotangulia, kwa sababu ya udhaifu wake, na kutokufaa kwake