Hebrews 8:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa sababu nitasamehe uovu wao, wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na nitawasamehe makosa waliyotenda, na sitazikumbuka dhambi zao.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa nitasamehe uovu wao, wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa sababu nitasamehe uovu wao, wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani nitawahurumia kwa ajili ya mapotovu yao, nisiyakumbuke tena makosa yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi nitawasamehe maovu yao, wala sitakumbuka tena zambi zao.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa sababu nitawasamehe dhumlumu zao, na dhambi zao sitazikumbuka tena.