Hebrews 9:27 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama vile mwanadamu alivyowekewa kufa mara moja tu na baada ya kufa akabili hukumu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila mtu atakufa mara moja tu. Baada ya hapo ni kuhukumiwa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama vile mwanadamu alivyowekewa kufa mara moja tu na baada ya kufa akabili hukumu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama vile mwanadamu alivyowekewa kufa mara moja tu na baada ya kufa akabili hukumu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama inavyowapasa watu, wafe mara moja, kisha wahukumiwe,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila mutu anapaswa kufa mara moja tu, na nyuma ya kufa, anahukumiwa na Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na jinsi watu wanavyowekewa kufa marra moja, na baada ya kufa hukumu: