Hosea 10:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mioyo yao imejaa udanganyifu. Sasa ni lazima wawajibike kwa hatia yao. Mwenyezi-Mungu atazibomoa madhabahu zao na kuziharibu nguzo zao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Moyo wao ni mdanganyifu, nao sasa lazima wachukue hatia yao. Mwenyezi Mungu atabomoa madhabahu zao na kuharibu mawe yao ya ibada.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Moyo wao umegawanyika; sasa wataonekana kuwa na hatia; yeye atazipiga madhabahu zao, ataziharibu nguzo zao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mioyo yao imejaa udanganyifu. Sasa ni lazima wawajibike kwa hatia yao. Mwenyezi-Mungu atazibomoa madhabahu zao na kuziharibu nguzo zao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Moyo wao ni mdanganyifu, nao sasa lazima wachukue hatia yao. BWANA atabomoa madhabahu zao na kuharibu mawe yao ya ibada.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Moyo wao ni mdanganyifu, nao sasa lazima wachukue hatia yao. bwana atabomoa madhabahu zao na kuharibu mawe yao ya ibada.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Moyo wao umegawanyika; sasa wataonekana kuwa na hatia; yeye atazipiga madhabahu zao, ataziharibu nguzo zao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mioyo yao imejaa udanganyifu. Sasa ni lazima wawajibike kwa hatia yao. Mwenyezi-Mungu atazibomoa madhabahu zao na kuziharibu nguzo zao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mioyo yao ni midanganyifu, sasa watalipishwa! Yeye atapavunja pao pa kutambikia, aviangamize vinyago vyao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Moyo wao umegawanyika; sasa wataonekana kuwa na hatia; yeye atazipiga madhabahu zao, ataziharibu nguzo zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mioyo yao imejaa udanganyifu. Sasa ni lazima wabebe makosa yao. Yawe atabomoa mazabahu zao na kuziharibu nguzo zao.