Hosea 10:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme wa Samaria atachukuliwa, kama kipande cha mti juu ya maji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Samaria na mfalme wake wataelea kama kijiti juu ya maji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Katika habari za Samaria, mfalme wake amekatiliwa mbali, kama povu usoni pa maji.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme wa Samaria atachukuliwa, kama kipande cha mti juu ya maji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Samaria na mfalme wake wataelea kama kijiti juu ya uso wa maji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Samaria na mfalme wake wataelea kama kijiti juu ya uso wa maji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Katika habari za Samaria, mfalme wake amekatiliwa mbali, kama povu usoni pa maji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme wa Samaria atachukuliwa, kama kipande cha mti juu ya maji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfalme wa Samaria ataangamizwa, awe kama kibanzi majini juu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Katika habari za Samaria, mfalme wake amekatiliwa mbali, kama povu usoni pa maji.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme wa Samaria atapelekwa, kama kipande cha muti juu ya maji.