Hosea 12:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mimi niliongea na manabii; ni mimi niliyewapa maono mengi, na kwa njia yao natangaza mpango wangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Niliongea na manabii, nikawapa maono mengi na kusema mifano kupitia wao.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena nimenena na hao manabii, nami nimeongeza maono, na kwa utumishi wa manabii nimetumia mifano.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mimi niliongea na manabii; ni mimi niliyewapa maono mengi, na kwa njia yao natangaza mpango wangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Niliongea na manabii, nikawapa maono mengi na kusema mifano kupitia wao.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Niliongea na manabii, nikawapa maono mengi na kusema mifano kupitia wao.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena nimenena na hao manabii, nami nimeongeza maono, na kwa utumishi wa manabii nimetumia mifano.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mimi niliongea na manabii; ni mimi niliyewapa maono mengi, na kwa njia yao natangaza mpango wangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mimi Bwana ni Mungu wako tangu hapo, nilipokutoa katika nchi ya Misri, mimi nitakukalisha tena katika mahema kama penye sikukuu za mkutano.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena nimenena na hao manabii, nami nimeongeza maono, na kwa utumishi wa manabii nimetumia mifano.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yawe anasema: Mimi ni Yawe, Mungu wako, tangia katika inchi ya Misri! Mimi nitakukalisha tena katika mahema, kama vile mulivyofanya wakati nilipokutana nanyi.