Hosea 12:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Efraimu ni sawa na mfanyabiashara atumiaye mizani danganyifu, apendaye kudhulumu watu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfanyabiashara hutumia vipimo vya udanganyifu; hupenda kupunja.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ni mchuuzi, mizani ya udanganyifu i mkononi mwake; anapenda kudhulumu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Efraimu ni sawa na mfanyabiashara atumiaye mizani danganyifu, apendaye kudhulumu watu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfanyabiashara hutumia vipimo vya udanganyifu; hupenda kupunja.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfanyabiashara hutumia vipimo vya udanganyifu; hupenda kupunja.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ni mfanya biashara, aliye na mizani ya udanganyifu mkononi mwake; anapenda kudhulumu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Efraimu ni sawa na mfanyabiashara atumiaye mizani danganyifu, apendaye kudhulumu watu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nawe sharti urudi kwa Mungu wako, ushikamane na upole, ufanye yapasayo, umngojee Mungu wako pasipo kukoma.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ni mchuuzi, mizani ya udanganyifu i mkononi mwake; anapenda kudhulumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini ninyi mumurudilie Mungu wenu. Mushikamane na wema na haki, mumutumainie Mungu wenu siku zote.