Hosea 13:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hasira yangu mimi nikawapa mfalme, kisha nikamwondoa kwa ghadhabu yangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo katika hasira yangu nilikupa mfalme na katika ghadhabu yangu nilimwondoa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nimekupa mfalme katika hasira yangu, nikamwondoa katika ghadhabu yangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hasira yangu mimi nikawapa mfalme, kisha nikamwondoa kwa ghadhabu yangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo katika hasira yangu nilikupa mfalme na katika ghadhabu yangu nilimwondoa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo katika hasira yangu nilikupa mfalme na katika ghadhabu yangu nilimwondoa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nimekupa mfalme katika hasira yangu, nikamwondoa katika ghadhabu yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hasira yangu mimi nikawapa mfalme, kisha nikamwondoa kwa ghadhabu yangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mimi nilikupa mfalme kwa kukasirika kwangu, tena nikamwondoa kwa makali yangu yenye moto.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nimekupa mfalme katika hasira yangu, nikamwondoa katika ghadhabu yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hasira yangu mimi nikawapa mufalme, kisha nikamwondoa kwa kasirani yangu.