Hosea 13:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Uovu wa Efraimu uko umeandikwa, dhambi yake imehifadhiwa ghalani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kosa la Efraimu limehifadhiwa, dhambi zake zimewekwa katika kumbukumbu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Uovu wa Efraimu umefungwa kwa kukazwa; dhambi yake imewekwa akiba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Uovu wa Efraimu uko umeandikwa, dhambi yake imehifadhiwa ghalani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kosa la Efraimu limehifadhiwa, dhambi zake zimewekwa katika kumbukumbu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kosa la Efraimu limehifadhiwa, dhambi zake zimewekwa katika kumbukumbu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uovu wa Efraimu umefungwa kwa kukazwa; dhambi yake imewekwa akiba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Uovu wa Efraimu uko umeandikwa, dhambi yake imehifadhiwa ghalani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Manza zake Efuraimu zimefungwa pamoja, makosa yake yakawekwa fichoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Uovu wa Efraimu umefungwa kwa kukazwa; dhambi yake imewekwa akiba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uovu wa Efuraimu uko umeandikwa, zambi yake imewekwa akiba.