Hosea 13:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mlipokwisha kula na kushiba, mlianza kuwa na kiburi, mpaka mkanisahau.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nilipowalisha, walishiba, waliposhiba, wakajivuna, kisha wakanisahau mimi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kadiri ya malisho yao, kwa kadiri iyo hiyo walishiba; walishiba na moyo wao ukatukuka; ndiyo sababu wamenisahau mimi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mlipokwisha kula na kushiba, mlianza kuwa na kiburi, mpaka mkanisahau.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nilipowalisha, walishiba, waliposhiba, wakajivuna, kisha wakanisahau mimi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nilipowalisha, walishiba, waliposhiba, wakajivuna, kisha wakanisahau mimi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kadiri ya malisho yao, kwa kadiri hiyo hiyo walishiba; walishiba na moyo wao ukatukuka; ndiyo sababu wamenisahau mimi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mlipokwisha kula na kushiba, mlianza kuwa na kiburi, mpaka mkanisahau.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini walipoona malisho mema wakashiba; napo waliposhiba, mioyo yao ikajikuza, kwa hiyo wamenisahau.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kadiri ya malisho yao, kwa kadiri iyo hiyo walishiba; walishiba na moyo wao ukatukuka; ndiyo sababu wamenisahau mimi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mulipokwisha kula na kushiba, mulianza kuwa na kiburi, mpaka mukanisahau.