Hosea 2:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, nitamshawishi, nitampeleka jangwani na kusema naye kwa upole.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kwa hiyo sasa nitamshawishi; nitamwongoza hadi jangwani na kuzungumza naye kwa upole.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa hiyo angalia, mimi nitamshawishi, na kumleta nyikani, na kusema naye maneno ya kumtuliza moyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, nitamshawishi, nitampeleka jangwani na kusema naye kwa upole.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kwa hiyo sasa nitamshawishi; nitamwongoza hadi jangwani na kuzungumza naye kwa upole.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kwa hiyo sasa nitamshawishi; nitamwongoza hadi jangwani na kuzungumza naye kwa upole.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa hiyo angalia, mimi nitamshawishi, na kumleta nyikani, na kusema naye maneno ya kumtuliza moyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, nitamshawishi, nitampeleka jangwani na kusema naye kwa upole.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo mtaniona, nikimbembeleza na kumpeleka nyikani, niseme naye kimoyomoyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa hiyo angalia, mimi nitamshawishi, na kumleta nyikani, na kusema naye maneno ya kumtuliza moyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nitaiharibu mizabibu yake na tini zake, anayosema ni malipo kutoka kwa wapenzi wake. Nitaifanya ikuwe pori, nao nyama wa pori wataikula.