Hosea 2:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Siku hiyo, wewe utaniita ‘Mume wangu,’ na sio tena ‘Baali wangu.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Katika siku ile,” asema Mwenyezi Mungu, “utaniita mimi ‘Mume wangu ’; hutaniita tena mimi ‘Bwana wangu.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena siku hiyo itakuwa, asema Bwana, utaniita Ishi
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Siku hiyo, wewe utaniita ‘Mume wangu,’ na sio tena ‘Baali wangu.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Katika siku ile,” asema BWANA, “utaniita mimi ‘Mume wangu’; hutaniita tena mimi ‘Bwana wangu.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Katika siku ile,” asema bwana, “utaniita mimi ‘Mume wangu’; hutaniita tena mimi ‘Bwana wangu.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena siku hiyo itakuwa, asema BWANA, utaniita Ishi, wala hutaniita tena Baali.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Siku hiyo, wewe utaniita ‘Mume wangu,’ na sio tena ‘Baali wangu.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndivyo asemavyo Bwana: Siku hiyo ndipo, utakaponiita Mume wangu, usiniite tena Bwana wangu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena siku hiyo itakuwa, asema BWANA, utaniita Ishi, wala hutaniita tena Baali.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo, nitamushawishi, nitamupeleka katika jangwa na kusema naye kwa upole.