Hosea 2:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana, nitalifanya jina la Baali lisitamkike tena kinywani mwako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka mdomoni mwake, wala hataomba tena kwa majina yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana nitayaondoa majina ya Mabaali kinywani mwake, wala hawatatajwa tena kwa majina yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana, nitalifanya jina la Baali lisitamkike tena kinywani mwako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka midomoni mwake, wala hataomba tena kwa majina yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka midomoni mwake, wala hataomba tena kwa majina yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana nitayaondoa majina ya Mabaali kinywani mwake, wala hawatatajwa tena kwa majina yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana, nitalifanya jina la Baali lisitamkike tena kinywani mwako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, nitakapoyaondoa majina ya vinyago vya Baali kinywani mwako, visitajwe tena kwa majina yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana nitayaondoa majina ya Mabaali kinywani mwake, wala hawatatajwa tena kwa majina yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Huko nitamurudishia mashamba yake ya mizabibu. Bonde la Akori litakuwa mulango wa tumaini. Ataniitikia vizuri kama vile alipokuwa kijana, kama wakati alipotoka katika inchi ya Misri.