Hosea 2:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na watoto wake sitawahurumia, maana ni watoto wa uzinzi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sitaonesha upendo wangu kwa watoto wake, kwa sababu ni watoto wa uzinzi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
naam, sitawaonea rehema watoto wake; kwa maana ni watoto wa uzinzi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na watoto wake sitawahurumia, maana ni watoto wa uzinzi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sitaonyesha upendo wangu kwa watoto wake, kwa sababu ni watoto wa uzinzi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sitaonyesha upendo wangu kwa watoto wake, kwa sababu ni watoto wa uzinzi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
naam, sitawaonea rehema watoto wake; kwa maana ni watoto wa uzinzi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na watoto wake sitawahurumia, maana ni watoto wa uzinzi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wanawe sitawahurumia, kwani ndio wana wa ugoni;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
naam, sitawaonea rehema watoto wake; kwa maana ni watoto wa uzinzi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumushitaki mama yenu, mumushitaki, maana sasa yeye si muke wangu wala mimi si mume wake. Mumushitaki aondoe vitambulisho vya uasherati juu ya uso wake, ajiepushe na mapambo ya uzinzi juu ya kifua chake.