Hosea 6:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nawe Yuda hali kadhalika, nimekupangia wakati utakapovuna adhabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Pia kwa ajili yako, Yuda, mavuno yameamriwa. “Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena, Ee Yuda, wewe umeandikiwa mavuno, hapo nitakapowarudisha wafungwa wa watu wangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nawe Yuda hali kadhalika, nimekupangia wakati utakapovuna adhabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Pia kwa ajili yako, Yuda, mavuno yameamuriwa. “Wakati wo wote ningerejesha neema ya watu wangu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Pia kwa ajili yako, Yuda, mavuno yameamriwa. “Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena, Ee Yuda, wewe umeandikiwa mavuno, hapo nitakapowarudisha wafungwa wa watu wangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nawe Yuda hali kadhalika, nimekupangia wakati utakapovuna adhabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nawe Yuda, utakayoyavuna, yako tayari; itakuwa hapo, nitakapoyafungua mafungo yao walio ukoo wangu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena, Ee Yuda, wewe umeandikiwa mavuno, hapo nitakapowarudisha wafungwa wa watu wangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nawe Yuda vilevile, nimekupangia wakati utakapovuna azabu.