Hosea 7:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Efraimu amechanganyika na watu wa mataifa. Anaonekana kama mkate ambao haukugeuzwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Efraimu anajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate ambao haukuiva.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Efraimu ajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate usiogeuzwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Efraimu amechanganyika na watu wa mataifa. Anaonekana kama mkate ambao haukugeuzwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Efraimu anajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate ambao haukuiva.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Efraimu anajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate ambao haukuiva.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Efraimu ajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate usiogeuzwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Efraimu amechanganyika na watu wa mataifa. Anaonekana kama mkate ambao haukugeuzwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Efuraimu hujichanganya na mataifa mengine, Efuraimu huwa kama andazi lisilogeuzwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Efraimu ajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate usiogeuzwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Efuraimu amechanganika na watu wa mataifa. Anaonekana kama mukate ambao haukugeuzwa.