Hosea 8:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hata kama ningewaandikia sheria zangu mara nyingi, wao wangeziona kuwa kitu cha kigeni tu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Niliwaandikia mambo mengi yaliyohusu sheria yangu, lakini waliziangalia kama kitu kigeni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nijapomwandikia sheria yangu katika amri elfu kumi, zimehesabiwa kuwa ni kitu kigeni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hata kama ningewaandikia sheria zangu mara nyingi, wao wangeziona kuwa kitu cha kigeni tu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nimeandika kwa ajili yao mambo mengi kuhusu sheria yangu, lakini wameziangalia kama kitu cha kigeni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nimeandika kwa ajili yao mambo mengi kuhusu sheria yangu, lakini wameziangalia kama kitu cha kigeni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nijapomwandikia sheria yangu katika amri makumi elfu, zimehesabiwa kuwa ni kitu kigeni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hata kama ningewaandikia sheria zangu mara nyingi, wao wangeziona kuwa kitu cha kigeni tu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ijapo nimwandikie mara elfu Maonyo yangu, huwaziwa kwake kuwa mambo mageni tu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nijapomwandikia sheria yangu katika amri elfu kumi, zimehesabiwa kuwa ni kitu kigeni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hata kama ningewaandikia sheria zangu mara nyingi, wao wangeziona kuwa kitu cha kigeni tu.