Hosea 8:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nanyi Waisraeli ni hivyohivyo! Na sanamu yenu hiyo fundi ndiye aliyeitengeneza. Yenyewe si Mungu hata kidogo. Naam! Sanamu ya ndama ya Samaria itavunjwavunjwa!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Zimetoka katika Israeli! Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu. Atavunjwa vipande vipande, yule ndama wa Samaria.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana katika Israeli kimetokea hata na kitu hiki; fundi ndiye aliyekifanya, nacho si mungu kamwe; naam, ndama ya Samaria itavunjika vipande vipande.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nanyi Waisraeli ni hivyohivyo! Na sanamu yenu hiyo fundi ndiye aliyeitengeneza. Yenyewe si Mungu hata kidogo. Naam! Sanamu ya ndama ya Samaria itavunjwavunjwa!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Zimetoka katika Israeli! Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu. Atavunjwa vipande vipande, yule ndama wa Samaria.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Zimetoka katika Israeli! Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu. Atavunjwa vipande vipande, yule ndama wa Samaria.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana katika Israeli kimetokea hata na kitu hiki; fundi ndiye aliyekifanya, nacho si mungu kamwe; naam, ndama ya Samaria itavunjika vipande vipande.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nanyi Waisraeli ni hivyohivyo! Na sanamu yenu hiyo fundi ndiye aliyeitengeneza. Yenyewe si Mungu hata kidogo. Naam! Sanamu ya ndama ya Samaria itavunjwavunjwa!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ilitokea kwao Waisiraeli, ni fundi aliyeitengeneza, siyo Mungu, kwani itakuwa vumbi hiyo ndama ya Samaria.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana katika Israeli kimetokea hata na kitu hiki; fundi ndiye aliyekifanya, nacho si mungu kamwe; naam, ndama ya Samaria itavunjika vipande vipande.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ile sanamu inatoka Israeli, ni fundi ndiye aliyeitengeneza. Yenyewe si Mungu hata kidogo. Kweli! Sanamu ya mwana-ngombe ya Samaria itavunjwavunjwa!