Isaiah 1:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
jifunzeni kutenda mema. Tendeni haki, ondoeni udhalimu, walindeni yatima, teteeni haki za wajane.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki. Wateteeni waliodhulumiwa. Teteeni shauri la yatima, wateteeni wajane.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
jifunzeni kutenda mema. Tendeni haki, ondoeni udhalimu, walindeni yatima, teteeni haki za wajane.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
jifunzeni kutenda mema! Tafuteni haki, watieni moyo walioonewa. Teteeni shauri la yatima, wateteeni wajane.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
jifunzeni kutenda mema! Tafuteni haki, watieni moyo walioonewa. Teteeni shauri la yatima, wateteeni wajane.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
jifunzeni kutenda mema. Tendeni haki, ondoeni udhalimu, walindeni yatima, teteeni haki za wajane.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Jifundisheni kufanya mema! Tafuteni njia ya kunyosha maamuzi mkiwapingia wakorofi! Waamulieni wafiwao na wazazi! Wagombeeni wajane!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
mujifunze kutenda mema. Mufuate sheria ya Mungu, mumusaidie mwenye kuteswa, mumupatie yatima haki yake, mutetee haki za wajane.