Isaiah 1:21 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jinsi gani mji uliokuwa mwaminifu sasa umegeuka kuwa kahaba! Wakati mmoja haki ilitawala humo, lakini sasa umejaa wauaji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tazama jinsi mji uliokuwa mwaminifu umekuwa kahaba! Mwanzoni ulikuwa umejaa unyofu, haki ilikuwa inakaa ndani yake, lakini sasa ni wauaji!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mji huu uliokuwa mwaminifu umekuwaje kahaba! Yeye aliyejaa hukumu ya haki; haki ilikaa ndani yake, bali sasa wauaji!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jinsi gani mji uliokuwa mwaminifu sasa umegeuka kuwa kahaba! Wakati mmoja haki ilitawala humo, lakini sasa umejaa wauaji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tazama jinsi ambavyo mji uliokuwa mwaminifu umekuwa kahaba! Mwanzoni ulikuwa umejaa unyofu, haki ilikuwa inakaa ndani yake, lakini sasa ni wauaji!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tazama jinsi mji uliokuwa mwaminifu umekuwa kahaba! Mwanzoni ulikuwa umejaa unyofu, haki ilikuwa inakaa ndani yake, lakini sasa ni wauaji!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mji huu uliokuwa mwaminifu umekuwaje kahaba! Yeye aliyejaa hukumu ya haki; haki ilikaa ndani yake, bali sasa wauaji!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jinsi gani mji uliokuwa mwaminifu sasa umegeuka kuwa kahaba! Wakati mmoja haki ilitawala humo, lakini sasa umejaa wauaji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kumbe mji uliokuwa wenye welekevu umegeuka kuwa wenye ugoni! Ulikuwa umejaa maamuzi yanyokayo, wongofu ukapata kao kwako, lakini sasa ni kao la wauaji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mji huu uliokuwa mwaminifu umekuwaje kahaba! Yeye aliyejaa hukumu ya haki; haki ilikaa ndani yake, bali sasa wauaji!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Namna gani muji uliokuwa mwaminifu sasa umegeuka kuwa kahaba! Wakati mumoja sheria ya Mungu ilifuatwa kabisa, haki ilikaa ndani yake. Sasa, ni muji wa wauaji.