Isaiah 10:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ole wao wanaotunga sheria zisizo za haki, watu wanaopitisha sheria za kukandamiza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ole wao wawekao sheria zisizo za haki, kwa wale watoao amri za kuonea,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao maneno ya ushupavu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ole wao wanaotunga sheria zisizo za haki, watu wanaopitisha sheria za kukandamiza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ole wao wawekao sheria zisizo za haki, kwa wale watoao amri za kuonea,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ole wao wawekao sheria zisizo za haki, kwa wale watoao amri za kuonea,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao sheria za kudhulumu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ole wao wanaotunga sheria zisizo za haki, watu wanaopitisha sheria za kukandamiza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yatawapata wenye hukumu wanaopotoa hukumu, nao waandishi wanaoandika makorofi!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao maneno ya ushupavu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ole kwao wanaotunga sheria za uovu, watu wanaopitisha sheria za kugandamiza.