Isaiah 10:32 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Leo hii, adui atatua Nobu, atatikisa ngumi yake dhidi ya mlima Siyoni; naam, atautikisia ngumi mji wa Yerusalemu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siku hii ya leo watasimama Nobu; watatikisa ngumi zao kwa mlima wa Binti Sayuni, kwa kilima cha Yerusalemu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
siku hii ya leo atasimama huko Nobu; anatikisa mkono wake juu ya mlima wa binti Sayuni, mlima wa Yerusalemu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Leo hii, adui atatua Nobu, atatikisa ngumi yake dhidi ya mlima Siyoni; naam, atautikisia ngumi mji wa Yerusalemu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Siku hii ya leo watasimama Nobu; watatikisa ngumi zao katika Mlima wa Binti Sayuni, katika kilima cha Yerusalemu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siku hii ya leo watasimama Nobu; watatikisa ngumi zao kwa mlima wa Binti Sayuni, kwa kilima cha Yerusalemu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
siku hii ya leo atasimama huko Nobu; anatikisa mkono wake juu ya mlima wa binti Sayuni, mlima wa Yerusalemu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Leo hii, adui atatua Nobu, atatikisa ngumi yake dhidi ya mlima Siyoni; naam, atautikisia ngumi mji wa Yerusalemu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku ya kusimama kwao kule Nobu watainyosha mikono yao, wauteke mlima wa binti Sioni nacho kilima cha Yerusalemu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
siku hii ya leo atasimama huko Nobu; anatikisa mkono wake juu ya mlima wa binti Sayuni, mlima wa Yerusalemu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Leo hii, adui atapiga kambi kule Noba, anainua mukono wake kwa mulima Sayuni, kilima cha Yerusalema.