Isaiah 10:34 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Atakata vichaka vya msituni kwa shoka, Lebanoni na mierezi yake maarufu itaanguka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Atakata vichaka vya msitu kwa shoka; Lebanoni itaanguka mbele zake yeye Mwenye Nguvu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
naye atavikata vichaka vya msitu kwa chuma; na Lebanoni utaanguka kwa mkono wake aliye mwenye uweza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Atakata vichaka vya msituni kwa shoka, Lebanoni na mierezi yake maarufu itaanguka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Atakata vichaka vya msitu kwa shoka; Lebanoni itaanguka mbele zake yeye Mwenye Nguvu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Atakata vichaka vya msitu kwa shoka; Lebanoni itaanguka mbele zake yeye Mwenye Nguvu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
naye atavikata vichaka vya msitu kwa chuma; na Lebanoni utaanguka kwa mkono wake aliye mwenye uweza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Atakata vichaka vya msituni kwa shoka, Lebanoni na mierezi yake maarufu itaanguka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Navyo vichaka vya mwituni vitakatwa kwa vyuma vikali, mwitu wa Libanoni utaishia kwa nguvu za mwenye utukufu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
naye atavikata vichaka vya msitu kwa chuma; na Lebanoni utaanguka kwa mkono wake aliye mwenye uweza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Atakata vichaka vya pori kwa shoka; Lebanoni na mierezi yake yenye utukufu itaanguka.