Isaiah 13:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kauli ya Mungu dhidi ya Babuloni ambayo Isaya, mwana wa Amozi, alipewa katika maono:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Neno la unabii kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ufunuo juu ya Babeli; maono aliyoyaona Isaya, mwana wa Amozi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kauli ya Mungu dhidi ya Babuloni ambayo Isaya, mwana wa Amozi, alipewa katika maono:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ufunuo juu ya Babeli; maono aliyoyaona Isaya, mwana wa Amozi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kauli ya Mungu dhidi ya Babuloni ambayo Isaya, mwana wa Amozi, alipewa katika maono:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tamko zito la kuwaambia Wababeli, Yesaya, mwana wa Amosi, aliloliona:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ufunuo juu ya Babeli; maono aliyoyaona Isaya, mwana wa Amozi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Haya ni maono, ambayo nabii Isaya mwana wa Amozi, aliyofunuliwa na Mungu juu ya inchi ya Babeli: