Isaiah 14:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Watakaokuona watakukodolea macho, watakushangaa wakisema: ‘Je, huyu ndiye aliyetetemesha dunia na kuzitikisa falme,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale wanaokuona wanakukazia macho, wanatafakari hatima yako: “Je, huyu ndiye yule aliyetikisa dunia na kufanya falme zitetemeke,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wao wakuonao watakukazia macho, Watakuangalia sana, wakisema, Je! Huyu ndiye aliyeitetemesha dunia, Huyu ndiye aliyetikisa falme;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Watakaokuona watakukodolea macho, watakushangaa wakisema: ‘Je, huyu ndiye aliyetetemesha dunia na kuzitikisa falme,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale wanaokuona wanakukazia macho, wanatafakari hatima yako: “Je, huyu ndiye yule aliyetikisa dunia na kufanya falme zitetemeke,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale wanaokuona wanakukazia macho, wanatafakari hatima yako: “Je, huyu ndiye yule aliyetikisa dunia na kufanya falme zitetemeke,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wao wakuonao watakukazia macho, Watakuangalia sana, wakisema, Je! Huyu ndiye aliyeitetemesha dunia, Huyu ndiye aliyetikisa falme;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Watakaokuona watakukodolea macho, watakushangaa wakisema: ‘Je, huyu ndiye aliyetetemesha dunia na kuzitikisa falme,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakuonao watakutumbulia macho, wakutambue kwamba: Je? Huyu siye aliyeitetemesha nchi, aliyewatikisa nao wafalme?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wao wakuonao watakukazia macho, Watakuangalia sana, wakisema, Je! Huyu ndiye aliyeitetemesha dunia, Huyu ndiye aliyetikisa falme;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watakaokuona watakutonolea macho, watakushangaa wakisema: Huyu ndiye aliyetetemesha dunia na kuzitikisa falme,