Isaiah 14:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wafalme wote wa mataifa wamezikwa kwa heshima kila mmoja ndani ya kaburi lake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wafalme wote wa mataifa wamelala kwa heshima kila mmoja katika kaburi lake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wafalme wote wa mataifa wamezikwa wote kwa heshima, Kila mmoja ndani ya nyumba yake mwenyewe;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wafalme wote wa mataifa wamezikwa kwa heshima kila mmoja ndani ya kaburi lake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wafalme wote wa mataifa wamelala kwa heshima kila mmoja katika kaburi lake mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wafalme wote wa mataifa wamelala kwa heshima kila mmoja katika kaburi lake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wafalme wote wa mataifa wamezikwa wote kwa heshima, Kila mmoja ndani ya nyumba yake mwenyewe;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wafalme wote wa mataifa wamezikwa kwa heshima kila mmoja ndani ya kaburi lake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wafalme wote wa kimizimu hulala kwenye utukufu, kila mtu chumbani mwake;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wafalme wote wa mataifa wamezikwa wote kwa heshima, Kila mmoja ndani ya nyumba yake mwenyewe;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wafalme wote wa mataifa wamezikwa kwa heshima kila mumoja ndani ya kaburi lake.