Isaiah 14:28 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwaka alipofariki mfalme Ahazi, Mungu alitoa kauli hii:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Neno hili lilikuja mwaka ule Mfalme Ahazi alipofariki:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ufunuo huu ulikuja mwaka ule alipokufa mfalme Ahazi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwaka alipofariki mfalme Ahazi, Mungu alitoa kauli hii:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Neno hili lilikuja mwaka ule Mfalme Ahazi alipokufa:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Neno hili lilikuja mwaka ule Mfalme Ahazi alipofariki:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ufunuo huu ulikuja mwaka ule alipokufa mfalme Ahazi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwaka alipofariki mfalme Ahazi, Mungu alitoa kauli hii:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwaka ule, mfalme Ahazi alipokufa, tamko hili zito likatokea:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ufunuo huu ulikuja mwaka ule alipokufa mfalme Ahazi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwaka mufalme Ahazi alipokufa, Mungu alitoa ujumbe huu: