Isaiah 14:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wazaliwa wa kwanza wa maskini watashiba, na fukara watakaa kwa usalama. Lakini chipukizi wenu nitawaua kwa njaa; na yeyote wenu atakayebaki nitamuua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maskini kuliko maskini wote watapata malisho, nao wahitaji watalala salama. Lakini mzizi wako nitauangamiza kwa njaa, nayo njaa itawaua walionusurika.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao walio maskini kabisa watakula, Na wahitaji watajilaza salama; Nami nitatia shina lako kwa njaa, Na mabaki yako watauawa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wazaliwa wa kwanza wa maskini watashiba, na fukara watakaa kwa usalama. Lakini chipukizi wenu nitawaua kwa njaa; na yeyote wenu atakayebaki nitamuua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maskini kuliko maskini wote watapata malisho, nao wahitaji watalala salama. Lakini mzizi wako nitauangamiza kwa njaa, nayo njaa itawaua walionusurika.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maskini kuliko maskini wote watapata malisho, nao wahitaji watalala salama. Lakini mzizi wako nitauangamiza kwa njaa, nayo njaa itawaua walionusurika.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao walio maskini kabisa watakula, Na wahitaji watajilaza salama; Nami nitatia shina lako kwa njaa, Na mabaki yako watauawa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wazaliwa wa kwanza wa maskini watashiba, na fukara watakaa kwa usalama. Lakini chipukizi wenu nitawaua kwa njaa; na yeyote wenu atakayebaki nitamuua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hapo ndipo, wanyonge waliosongeka sana watakapolisha, nao wakiwa watalala hapohapo na kutulia vizuri; lakini mizizi yako nitaifisha kwa njaa, nao watakaosalia atawaua yule nondo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao walio maskini kabisa watakula, Na wahitaji watajilaza salama; Nami nitatia shina lako kwa njaa, Na mabaki yako watauawa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wazaliwa wa kwanza wa wazaifu watashiba, na wakosefu watakaa kwa usalama. Lakini chipukizi wenu nitawaua kwa njaa; na yeyote kati yenu atakayebaki nitamwua.