Isaiah 14:4 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
utaimba utenzi huu wa kumdhihaki mfalme wa Babuloni: “Jinsi gani mdhalimu alivyokomeshwa! Ujeuri wake umekomeshwa!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
utaichukua dhihaka hii dhidi ya mfalme wa Babeli: Tazama jinsi mtesi alivyofikia mwisho! Tazama jinsi ghadhabu yake kali ilivyokoma!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
utatunga mithali hii juu ya mfalme wa Babeli, na kusema, Jinsi alivyokoma mwenye kuonea; Jinsi ulivyokoma mji ule wenye jeuri!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
utaimba utenzi huu wa kumdhihaki mfalme wa Babuloni: “Jinsi gani mdhalimu alivyokomeshwa! Ujeuri wake umekomeshwa!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
utaichukua dhihaka hii dhidi ya mfalme wa Babeli: Tazama jinsi mtesi alivyofikia mwisho! Tazama jinsi ghadhabu yake kali ilivyokoma!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
utaichukua dhihaka hii dhidi ya mfalme wa Babeli: Tazama jinsi mtesi alivyofikia mwisho! Tazama jinsi ghadhabu yake kali ilivyokoma!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
utatunga mithali hii juu ya mfalme wa Babeli, na kusema, Jinsi mdhalimu alivyokoma; Jinsi ulivyokoma mji ule wenye ujeuri!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
utaimba utenzi huu wa kumdhihaki mfalme wa Babuloni: “Jinsi gani mdhalimu alivyokomeshwa! Ujeuri wake umekomeshwa!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
utamwimbia mfalme wa Babeli wimbo huu wa kumfyoza kwamba: Kumbe mwenye kusonga ametulia! Kumbe napo tulipoumizwa pametulia!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
utatunga mithali hii juu ya mfalme wa Babeli, na kusema, Jinsi alivyokoma mwenye kuonea; Jinsi ulivyokoma mji ule wenye jeuri!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
utaimba wimbo huu wa kumuchekelea mufalme wa Babeli: Jinsi gani mutesaji alikomeshwa! Ukali wake umekomeshwa!