Isaiah 16:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wamoabu wanawaambia watu wa Yuda, “Tupeni mwongozo, tuamulieni. Enezeni ulinzi wenu juu yetu, kama vile usiku uenezavyo kivuli chake. Tuficheni sisi wakimbizi; msitusaliti sisi tuliofukuzwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Tupeni shauri, toeni uamuzi. Wakati wa adhuhuri, fanyeni kivuli chenu kama usiku. Waficheni watoro, msisaliti wakimbizi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lete shauri; kata neno; fanya kivuli chako kuwa kama usiku kati ya mchana; wafiche waliofukuzwa; usiwachongee waliopotea.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wamoabu wanawaambia watu wa Yuda, “Tupeni mwongozo, tuamulieni. Enezeni ulinzi wenu juu yetu, kama vile usiku uenezavyo kivuli chake. Tuficheni sisi wakimbizi; msitusaliti sisi tuliofukuzwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Tupeni shauri, toeni uamuzi. Wakati wa adhuhuri, fanyeni kivuli chenu kama usiku. Waficheni watoro, msisaliti wakimbizi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Tupeni shauri, toeni uamuzi. Wakati wa adhuhuri, fanyeni kivuli chenu kama usiku. Waficheni watoro, msisaliti wakimbizi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lete shauri; kata neno; fanya kivuli chako kuwa kama usiku kati ya mchana; wafiche waliofukuzwa; usiwachongee waliopotea.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wamoabu wanawaambia watu wa Yuda, “Tupeni mwongozo, tuamulieni. Enezeni ulinzi wenu juu yetu, kama vile usiku uenezavyo kivuli chake. Tuficheni sisi wakimbizi; msitusaliti sisi tuliofukuzwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tupatieni mzungu! Tupatanisheni! Vikuzeni vivuli vyenu vya mchana, viwe virefu kama vya jioni, viwe maficho yao wafukuzwao! Msiwachongee waliokimbia!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lete shauri; kata neno; fanya kivuli chako kuwa kama usiku kati ya mchana; wafiche waliofukuzwa; usiwachongee waliopotea.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wamoabu wanawaambia watu wa Yuda: Mutuongoze, mutuamue. Mueneze ulinzi wenu juu yetu, kama vile usiku unavyoeneza kivuli chake. Mutufiche sisi wakimbizi; musitutoe sisi tuliofukuzwa.