Isaiah 19:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wafuma nguo watafedheheshwa, na vibarua watahuzunika.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wafanyao kazi ya kufuma nguo watahuzunishwa, nao vibarua wataugua moyoni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na nguzo za nchi zitavunjika vipande vipande, wote wafanyao kazi ya mshahara watahuzunika nafsini mwao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wafuma nguo watafedheheshwa, na vibarua watahuzunika.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wafanyao kazi ya kufuma nguo watahuzunishwa, nao vibarua wataugua moyoni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wafanyao kazi ya kufuma nguo watahuzunishwa, nao vibarua wataugua moyoni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na nguzo za nchi zitavunjika vipande vipande, wote wafanyao kazi ya mshahara watahuzunika nafsini mwao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wafuma nguo watafedheheshwa, na vibarua watahuzunika.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo misingi yao itakuwa imepondeka, wote wafanyao kazi za kibarua wataumia rohoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na nguzo za nchi zitavunjika vipande vipande, wote wafanyao kazi ya mshahara watahuzunika nafsini mwao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wafuma nguo watafezeheshwa, na wafanya kazi watahuzunika.