Isaiah 19:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hakuna mtu yeyote nchini Misri, kiongozi au raia, mashuhuri au duni, awezaye kufanya lolote la maana.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Misri haiwezi kufanya kitu chochote, cha kichwa wala cha mkia, cha tawi la mtende wala cha tete.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala haitakuwako kazi yo yote katika Misri iwezayo kufanywa, ya kichwa au ya mkia, ya tawi au ya nyasi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hakuna mtu yeyote nchini Misri, kiongozi au raia, mashuhuri au duni, awezaye kufanya lolote la maana.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Misri haiwezi kufanya kitu cho chote, cha kichwa wala cha mkia, cha tawi la mtende wala cha unyasi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Misri haiwezi kufanya kitu chochote, cha kichwa wala cha mkia, cha tawi la mtende wala cha tete.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala haitakuwako kazi yoyote katika Misri iwezayo kufanywa, ya kichwa au ya mkia, ya tawi au ya nyasi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hakuna mtu yeyote nchini Misri, kiongozi au raia, mashuhuri au duni, awezaye kufanya lolote la maana.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hakuna tendo tena, Wamisri, watakalolitenda, kama ni kichwa au mkia, kama ni makuti au majani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala haitakuwako kazi yo yote katika Misri iwezayo kufanywa, ya kichwa au ya mkia, ya tawi au ya nyasi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hakuna mutu yeyote katika inchi ya Misri, mutawala au wanainchi, wakubwa au watu wadogo, anayeweza kufanya jambo lolote la maana.