Isaiah 19:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sehemu za kandokando ya Nili zitakuwa tupu. Mimea yote iliyopandwa humo itakauka na kupeperushiwa mbali na kutoweka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
pia mimea iliyo kando ya Mto Naili, pale mto unapomwaga maji baharini. Kila shamba lililopandwa kando ya Mto Naili litakauka, litapeperushwa na kutoweka kabisa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Vitu vimeavyo karibu na Nile, katika ukingo wa Nile, na vyote vilivyopandwa karibu na Nile vitakauka na kuondolewa na kutoweka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sehemu za kandokando ya Nili zitakuwa tupu. Mimea yote iliyopandwa humo itakauka na kupeperushiwa mbali na kutoweka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
pia mimea iliyoko kandokando ya Mto Nile, kwenye mdomo wa mto unapomwaga maji baharini. Kila shamba lililopandwa kando ya Mto Nile litakauka, litapeperushwa na kutoweka kabisa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
pia mimea iliyoko kando ya Mto Naili, pale mto unapomwaga maji baharini. Kila shamba lililopandwa kando ya Mto Naili litakauka, litapeperushwa na kutoweka kabisa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Vitu vimeavyo karibu na Nile, katika ukingo wa Nile, na vyote vilivyopandwa karibu na Nile vitakauka na kuondolewa na kutoweka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sehemu za kandokando ya Nili zitakuwa tupu. Mimea yote iliyopandwa humo itakauka na kupeperushiwa mbali na kutoweka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Viwanda vilivyoko kando ya mto kwenye kingo za mto, nayo mashamba yote ya mtoni yatanyauka, yatakauka kabisa yatoweke.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Vitu vimeavyo karibu na Nile, katika ukingo wa Nile, na vyote vilivyopandwa karibu na Nile vitakauka na kuondolewa na kutoweka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sehemu za kandokando ya Nili zitakuwa tupu. Mimea yote iliyopandwa humo itakauka na kupeperushiwa mbali na kutoweka.