Isaiah 19:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wafuma nguo za kitani watakata tamaa, wote kwa pamoja watakufa moyo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale watu wafanyao kazi ya kitani kilichochambuliwa watakata tamaa, wafumaji wa kitani safi watavunjika moyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena wao wafanyao kazi ya kuchana kitani watafadhaika, na hao pia wafumao bafta.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wafuma nguo za kitani watakata tamaa, wote kwa pamoja watakufa moyo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale watu wafanyao kazi ya kitani kilichochambuliwa watakata tamaa, wafumaji wa kitani safi watavunjika moyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale watu wafanyao kazi ya kitani kilichochambuliwa watakata tamaa, wafumaji wa kitani safi watavunjika moyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena wao wafanyao kazi ya kuchana kitani watafadhaika, na hao pia wafumao bafta.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wafuma nguo za kitani watakata tamaa, wote kwa pamoja watakufa moyo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hata wafanyao kazi za pamba wataangamia pamoja nao wafumao nguo nyeupe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena wao wafanyao kazi ya kuchana kitani watafadhaika, na hao pia wafumao bafta.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wafuma nguo za kitani watafazaika, wote kwa pamoja watavunjika moyo.