Isaiah 2:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usimwamini binadamu, uhai wake haudumu kama pumzi. Yeye anafaa kitu gani?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake i katika mianzi ya pua yake; kwa maana hudhaniwaje kuwa ni kitu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usimwamini binadamu, uhai wake haudumu kama pumzi. Yeye anafaa kitu gani?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usimwamini binadamu, uhai wake haudumu kama pumzi. Yeye anafaa kitu gani?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sasa waacheni wale watu! Nao puani mwao ni pumzi tu; huwaziwa kuwa nini?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake i katika mianzi ya pua yake; kwa maana hudhaniwaje kuwa ni kitu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usimutumainie mwanadamu, uzima wake ni kama pumzi tu. Yeye anafaa kitu gani?