Isaiah 2:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, kila mtu ataaibishwa na kufedheheshwa. Usiwasamehe hata kidogo, ee Mungu!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo mwanadamu atashushwa na binadamu atanyenyekezwa: usiwasamehe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu mnyonge huinama, na mtu mkubwa hujidhili; kwa hiyo usiwasamehe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, kila mtu ataaibishwa na kufedheheshwa. Usiwasamehe hata kidogo, ee Mungu!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo mwanadamu atashushwa na binadamu atanyenyekezwa, usiwasamehe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo mwanadamu atashushwa na binadamu atanyenyekezwa: usiwasamehe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu mnyonge huinama, na mtu mkubwa hujidhili; kwa hiyo usiwasamehe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, kila mtu ataaibishwa na kufedheheshwa. Usiwasamehe hata kidogo, ee Mungu!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watu wakavinyenyekea, mabwana nao wakaviinamia; hivi hatawaondolea kabisa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu mnyonge huinama, na mtu mkubwa hujidhili; kwa hiyo usiwasamehe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo, kila mutu atapata haya na kufezeheshwa. Usiwasamehe hata kidogo, ee Mungu!