Isaiah 22:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa nini mnapiga kelele za shangwe, na mji wote umechangamka na kujaa vigelegele? Watu wenu waliokufa hawakuuawa vitani, wala hawakuuawa katika mapigano.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ewe mji uliojaa ghasia, ewe mji wa makelele na sherehe! Watu wenu waliokufa hawakuuawa kwa upanga, wala hawakufa vitani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ewe uliyejaa makelele, Mji wa ghasia, mji wenye furaha; Watu wako waliouawa hawakuuawa kwa upanga, Wala hawakufa vitani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa nini mnapiga kelele za shangwe, na mji wote umechangamka na kujaa vigelegele? Watu wenu waliokufa hawakuuawa vitani, wala hawakuuawa katika mapigano.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ewe mji uliojaa ghasia, Ewe mji wa makelele na karamu za sherehe! Watu wenu waliokufa hawakuuawa kwa upanga, wala hawakufa vitani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ewe mji uliojaa ghasia, ewe mji wa makelele na sherehe! Watu wenu waliokufa hawakuuawa kwa upanga, wala hawakufa vitani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ewe uliyejaa makelele, Mji wa ghasia, mji wenye furaha; Watu wako waliouawa hawakuuawa kwa upanga, Wala hawakufa vitani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa nini mnapiga kelele za shangwe, na mji wote umechangamka na kujaa vigelegele? Watu wenu waliokufa hawakuuawa vitani, wala hawakuuawa katika mapigano.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wewe mji uliojaa makelele ya machafuko, mliomo na wapiga vigelegele, watu wako waliouawa hawakuuawa kwa panga, wala hawakufa vitani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ewe uliyejaa makelele, Mji wa ghasia, mji wenye furaha; Watu wako waliouawa hawakuuawa kwa upanga, Wala hawakufa vitani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa nini munapiga kelele za shangwe, na muji wote umechangamuka na kujaa vigelegele? Watu wenu waliokufa hawakuuawa katika vita, wala hawakuuawa katika mapigano.