Isaiah 23:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyamazeni kwa mshangao enyi wakazi wa pwani, naam, tulieni enyi wafanyabiashara wa Sidoni, ambao wajumbe wenu wanapita baharini,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nyamazeni kimya, enyi watu wa kisiwani, pia ninyi wafanyabiashara wa Sidoni, ambao mabaharia wamewatajirisha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tulieni, enyi mkaao kisiwani; wewe ambaye wafanya biashara wa Sidoni, wavukao bahari, walikujaza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyamazeni kwa mshangao enyi wakazi wa pwani, naam, tulieni enyi wafanyabiashara wa Sidoni, ambao wajumbe wenu wanapita baharini,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nyamazeni kimya, enyi watu wa kisiwani, pia ninyi wafanyabiashara wa Sidoni, ambao mabaharia wamewatajirisha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nyamazeni kimya, enyi watu wa kisiwani, pia ninyi wafanyabiashara wa Sidoni, ambao mabaharia wamewatajirisha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tulieni, enyi mkaao kisiwani; wewe ambaye wafanya biashara wa Sidoni, wavukao bahari, walikujaza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyamazeni kwa mshangao enyi wakazi wa pwani, naam, tulieni enyi wafanyabiashara wa Sidoni, ambao wajumbe wenu wanapita baharini,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nyamazeni, ninyi mkaao pwani! Wachuuzi wa Sidoni waliopita baharini waliwaletea yote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tulieni, enyi mkaao kisiwani; wewe ambaye wafanya biashara wa Sidoni, wavukao bahari, walikujaza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Munyamaze kwa mushangao, enyi wakaaji wa visanga, mutulie enyi wachuuzi wa Sidona. Wajumbe wenu walipita katika bahari kubwakubwa,