Isaiah 24:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mji uliohamwa umejaa uharibifu; kila nyumba imefungwa asiingie mtu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mji ulioharibiwa umekuwa ukiwa, mlango wa kila nyumba umefungwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mji wa machafuko umebomolewa; kila nyumba imefungwa, asipate kuingia mtu awaye yote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mji uliohamwa umejaa uharibifu; kila nyumba imefungwa asiingie mtu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mji ulioharibiwa umekuwa ukiwa, mlango wa kila nyumba umefungwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mji ulioharibiwa umekuwa ukiwa, mlango wa kila nyumba umefungwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mji wa machafuko umebomolewa; kila nyumba imefungwa, asipate kuingia mtu awaye yote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mji uliohamwa umejaa uharibifu; kila nyumba imefungwa asiingie mtu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mji umebomolewa, uko peke yake tu, kila nyumba imefungwa, hakuna anayekuja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mji wa machafuko umebomolewa; kila nyumba imefungwa, asipate kuingia mtu awaye yote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muji wa fujo umejaa uharibifu; kila nyumba imefungwa kusudi mutu asiingie.