Isaiah 24:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mji ni magofu matupu; malango yake yamevunjwavunjwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mji umeachwa katika uharibifu, lango lake limevunjwa vipande.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndani ya mji umebaki ukiwa, na lango lake limepigwa kwa uharibifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mji ni magofu matupu; malango yake yamevunjwavunjwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mji umeachwa katika uharibifu, lango lake limepigwapigwa na kuvunjwa vipande vipande.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mji umeachwa katika uharibifu, lango lake limevunjwa vipande.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndani ya mji umebaki ukiwa, na lango lake limepigwa kwa uharibifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mji ni magofu matupu; malango yake yamevunjwavunjwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yaliosalia mjini ni mahame tu, nalo lango lake limevunjwavunjwa kuwa vipandepande tu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndani ya mji umebaki ukiwa, na lango lake limepigwa kwa uharibifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muji ni mabomoko matupu; milango yake imevunjwavunjwa.