Isaiah 25:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bwana Mungu atakiangamiza kifo milele! Atayafuta machozi katika nyuso za watu wote na kuwaondolea watu wake aibu duniani kote. Bwana Mwenyezi-Mungu ametamka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
yeye atameza mauti milele. Bwana Mungu Mwenyezi atafuta machozi katika nyuso zote; ataondoa aibu ya watu wake duniani kote. Mwenyezi Mungu amesema hili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Amemeza mauti hata milele; na Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana Bwana amenena hayo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bwana Mungu atakiangamiza kifo milele! Atayafuta machozi katika nyuso za watu wote na kuwaondolea watu wake aibu duniani kote. Bwana Mwenyezi-Mungu ametamka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
yeye atameza mauti milele katika ushindi. BWANA Mwenyezi atafuta machozi katika nyuso zote, ataondoa aibu ya watu wake duniani kote. BWANA amesema hili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
yeye atameza mauti milele. bwana Mwenyezi atafuta machozi katika nyuso zote; ataondoa aibu ya watu wake duniani kote. bwana amesema hili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Amemeza mauti hata milele; na Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana BWANA amenena hayo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bwana Mungu atakiangamiza kifo milele! Atayafuta machozi katika nyuso za watu wote na kuwaondolea watu wake aibu duniani kote. Bwana Mwenyezi-Mungu ametamka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kufa nako atakumeza, kutoweke kale na kale; kisha Bwana Mungu atayafuta machozi nyusoni pao wote, nayo matwezo yao walio ukoo wake atayaondoa katika nchi zote, kwani Bwana amevisema.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Amemeza mauti hata milele; na Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana BWANA amenena hayo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Bwana wetu Yawe atakiangamiza kifo milele! Atayafuta machozi katika nyuso za watu wote na kuondoa haya ya watu wake katika dunia yote. Yawe amesema hivyo.