Isaiah 28:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anatufundisha kama watoto wadogo: Sheria baada ya sheria, mstari baada ya mstari; mara hiki, mara kile!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana ni: Amri juu ya amri, amri juu ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; hapa kidogo, kule kidogo.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anatufundisha kama watoto wadogo: sheria baada ya sheria, mstari baada ya mstari; mara hiki, mara kile!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana ni: Amri juu ya amri, amri juu ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; hapa kidogo, kule kidogo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana ni: Amri juu ya amri, amri juu ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; hapa kidogo, kule kidogo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anatufundisha kama watoto wadogo: Sheria baada ya sheria, mstari baada ya mstari; mara hiki, mara kile!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Agizo hufuata agizo, kweli agizo hufuata agizo; kingojeo huita kingojeo, kweli kingojeo huita kingojeo kwamba: Hapa bado kidogo napo hapo bado kidogo!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anatufundisha kama watoto wadogo: kanuni juu ya kanuni, mustari juu ya mustari; mara hiki, mara hiki!