Isaiah 29:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bado kidogo tu, msitu wa Lebanoni utageuzwa kuwa shamba lenye rutuba, na shamba lenye rutuba kuwa msitu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa muda mfupi sana, je, Lebanoni haitageuzwa kuwa shamba lenye rutuba, na shamba lenye rutuba liwe kama msitu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Si muda mdogo uliobaki, na Lebanoni itageuzwa kuwa shamba lizaalo sana, na lile shamba lizaalo sana litahesabiwa kuwa msitu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bado kidogo tu, msitu wa Lebanoni utageuzwa kuwa shamba lenye rutuba, na shamba lenye rutuba kuwa msitu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa muda mfupi sana, je, Lebanoni haitageuzwa kuwa shamba lenye rutuba na shamba lenye rutuba liwe kama msitu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa muda mfupi sana, je, Lebanoni haitageuzwa kuwa shamba lenye rutuba, na shamba lenye rutuba liwe kama msitu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Si muda mdogo uliobaki, na Lebanoni itageuzwa kuwa shamba lizaalo sana, na lile shamba lizaalo sana litahesabiwa kuwa msitu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bado kidogo tu, msitu wa Lebanoni utageuzwa kuwa shamba lenye rutuba, na shamba lenye rutuba kuwa msitu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sicho kitambo kidogo bado, Libanoni kugeuke kuwa shamba, nayo mashamba yawaziwe kuwa mwitu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Si muda mdogo uliobaki, na Lebanoni itageuzwa kuwa shamba lizaalo sana, na lile shamba lizaalo sana litahesabiwa kuwa msitu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Bado kidogo tu, pori la Lebanoni litageuzwa kuwa shamba lenye udongo muzuri, na shamba lenye udongo muzuri kuwa pori.