Isaiah 29:21 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watatoweka wale wanaopotosha kesi ya mtu mahakamani, watu wanaowafanyia hila mahakimu na wasemao uongo kuwanyima haki yao wasio na hatia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa mwenye hatia, wamtegeao mtego mtetezi katika mahakama, na kwa ushuhuda wa uongo humnyima haki yeye asiye na hatia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
hao wamfanyao mtu kuwa amekosa katika neno, na kumtegea mtego yeye aonyaye langoni, na kumgeuza mwenye haki kwa kitu kisichofaa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watatoweka wale wanaopotosha kesi ya mtu mahakamani, watu wanaowafanyia hila mahakimu na wasemao uongo kuwanyima haki yao wasio na hatia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa mwenye hatia, wamtegeao mtego mtetezi katika mahakama na kwa ushuhuda wa uongo humnyima haki yeye asiye na hatia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa mwenye hatia, wamtegeao mtego mtetezi katika mahakama, na kwa ushuhuda wa uongo humnyima haki yeye asiye na hatia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
hao wamfanyao mtu kuwa amekosa katika neno, na kumtegea mtego yeye aonyaye langoni, na kumgeuza mwenye haki kwa kitu kisichofaa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watatoweka wale wanaopotosha kesi ya mtu mahakamani, watu wanaowafanyia hila mahakimu na wasemao uongo kuwanyima haki yao wasio na hatia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndio wanaokosesha wengine shaurini, ndio wanaowategea waamuliao penye malango ya mji, kwani hivyo wanawapotoa waongofu, wasishinde shaurini.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
hao wamfanyao mtu kuwa amekosa katika neno, na kumtegea mtego yeye aonyaye langoni, na kumgeuza mwenye haki kwa kitu kisichofaa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watatoweka wale wanaopotosha maneno ya mutu katika tribinali, watu wanaowatega waamuzi na wanaosema uongo kwa kuwanyima haki yao wasiokuwa na kosa.