Isaiah 29:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waliopotoka rohoni watapata maarifa na wenye kununa watakubali kufunzwa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu, nao wale wanaolalamika watayakubali mafundisho.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hao nao wakosao rohoni mwao watapata kufahamu, na hao wanung'unikao watajifunza elimu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waliopotoka rohoni watapata maarifa na wenye kununa watakubali kufunzwa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu, wale wanaolalamika watayakubali mafundisho.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu, nao wale wanaolalamika watayakubali mafundisho.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hao nao wakosao rohoni mwao watapata kufahamu, na hao wanung'unikao watakubali mafunzo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waliopotoka rohoni watapata maarifa na wenye kununa watakubali kufunzwa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, waliopotea rohoni watakapojua utambuzi nao walionung'unika watajifundisha yafaayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hao nao wakosao rohoni mwao watapata kufahamu, na hao wanung’unikao watajifunza elimu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waliopotoka katika roho watapata maarifa na wenye kunungunika watakubali kufundishwa.