Isaiah 3:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ataondoa mashujaa na askari, waamuzi na manabii, waaguzi na wazee,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
shujaa na mtu wa vita, mwamuzi na nabii, mwaguzi na mzee,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
mtu hodari na mtu wa vita; mwamuzi na nabii; mpiga ramli na mzee;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ataondoa mashujaa na askari, waamuzi na manabii, waaguzi na wazee,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
shujaa na mtu wa vita, mwamuzi na nabii, mwaguzi na mzee,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
shujaa na mtu wa vita, mwamuzi na nabii, mwaguzi na mzee,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
mtu hodari na mtu wa vita; mwamuzi na nabii; mpiga ramli na mzee;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ataondoa mashujaa na askari, waamuzi na manabii, waaguzi na wazee,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wenye nguvu nao wajuao kazi za vita, waamuzi na wafumbuaji, waaguaji na wazee,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
mtu hodari na mtu wa vita; mwamuzi na nabii; mpiga ramli na mzee;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ataondoa mashujaa na waaskari, waamuzi na manabii, waaguzi na wazee,