Isaiah 32:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kutatokea mfalme atakayetawala kwa uadilifu, nao viongozi wataongoza kwa kufuata haki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu na watawala watatawala kwa haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tazama, mfalme atamiliki kwa haki, na wakuu watatawala kwa hukumu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kutatokea mfalme atakayetawala kwa uadilifu, nao viongozi wataongoza kwa kufuata haki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu na watawala watatawala kwa haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu na watawala watatawala kwa haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tazama, mfalme atamiliki kwa haki, na wakuu watatawala kwa hukumu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kutatokea mfalme atakayetawala kwa uadilifu, nao viongozi wataongoza kwa kufuata haki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Na mwone, mfalme akitawala kwa wongofu, wakuu nao wakiwaendea watu kwa unyofu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tazama, mfalme atamiliki kwa haki, na wakuu watatawala kwa hukumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kutatokea mufalme atakayetawala kwa haki, nao wakubwa wataongoza kwa kufuatana na sheria ya Mungu.